Rais Kikwete azungumza na Makamu wa Rais wa Afrika ya Kusini Kgalema Montlante
Rais
Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha ikulu Makamu wa Rais wa Afrika
ya Kusini Kgalema Motlante wakati mgeni huyo alipomtembelea Rais. Kulia
ni Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal.
Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na makamu wa Rais wa
Afrika ya Kusini Kgalema Motlante(kushoto) ikulu jijini Dar es Salaam.
Kulia nia Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal. (Picha na Freddy
Maro)
No comments:
Post a Comment