

Mwanamuziki Jose Chameleone akiimba nje ya ubalozi wa Tanzania nchini Uganda


Baadhi ya watu mablimbali walioungana na Mwanamuziki Jose Chameleone

Gari la Polisi likiwa nje ya Ubalozi Tanzania nchini Uganda

Mwanamuziki
mashuhuri nchini Uganda Jose Chameleone akiwa nje ya jengo la Ubalozi
wa Tanzania nchini Uganda na mabango sambamba na wapambe wake
akishinikiza apatiwe passport yake ambayo anadai inashikiliwa na
Bwa.Erick Shigongo.Picha mbalimbali kama zinavyoonesha tukio hilo nje ya
jengo la Ubalozi Tanzania nchini Uganda.Picha zaidi ingia kwenye www.facebook.com/josechameleone
No comments:
Post a Comment