- Bennie Alphonce Ila inafaa muwe na vidosho kama ivyo maana lile daraja linvyovunjwaga mm mnastail wa kuwapoza ata kwa kuwachummmmmmm waaaaaa
- Elvis Chrispine we joan weweee, baswiiiiiiiiii4 minutes ago · · 1
- Samiah Chelsea Tru Blue kubahatisha why ww hujabahatisha3 minutes ago via mobile · · 1
- Elvis Chrispine saidi, niogope kusema ukweli?3 minutes ago · · 2
- Dola Iddy ELVIN, Khe? Ngoja nikwambie ki2 kutokuwepo kwa chelsea katka top 4 ni kutokana na matokeo mabaya tuliyokuwa tukiyapata kpnd tupo na AVB Lakn alpokabdhiwa mikoba di Matteo nadhan uliona mambo yalvyokuwa wenyewe unajua.3 minutes ago via mobile · · 1
- Elvis Chrispine nyie mnaweka kocha umri sawa na drogba mnategemea nini?
- Joan Chuwa Bennie Alphonce, daraja lilivunjwa kwa sababu ya yule msaliti AVB na wewe umesahau usemi wa Yesu kwamba atalivunja hekalu na katika siku tatu litakuwaje? malizia na veveabout a minute ago · · 1
- Elvis Chrispine mi nimebahatisha nini? Samiah Chelsea Tru Blue
- Elvis Chrispine hizo hadithi, sa aliyevunja daraja nani?
- Kichwani Chelsea Moyoni Chelsea kumuweka benchi drogba kulimfukuzisha kazi scolari.a few seconds ago · · 1
- Joan Chuwa AVB
- Kichwani Chelsea Moyoni Chelsea drogba is the king
- Elvis Chrispine na ndo kajenga? joan
- Joan Chuwa walikuwa awajui eeee, Drogbaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ukiita hivi Barca na Bayern wanaumwa
No comments:
Post a Comment