PICHA ZA UKWELI

KAMPUNI YA SIMU YA MKONONI TIGO YAZINDUA HUDUMA UUNGANISHAJI INTARNET (TIGO JAMAA)

Meneja wa Huduma za Tigo Internet (katika) Bw.Titus Kafuma akiongea na   waandishi wa habari , juu ya huduma ya Tigo Jamaa ya kusaidia kuwaunganishia wateja wa wanaotumia mtandao  wa Tigo katika huduma za Inteneti kwenye simu zao.(Kulia) ni Ofisa Uhusiano wa Tigo, Alice Maro.wa kwanza kushoto mtaalam wa promosheni mahusiano na udhamini Bw.Edward Shila, mkutano huo ulifanyika katika Hotel ya Holiday Inn jijini Dar es salaam leo.
Waandishi wa habari waliodhuria katika mkutano huo hapa kila moja akiwa makini kupata picha iliokuwa bora.

No comments: