Mtoto
 Safina Mkwama amechapwa viboko na baba yake wa kambo kwa kutumia mwanzi
 hadi mtoto akazirai. Kosa la mtoto lilitajwa kuwa ni kupoteza shilingi 
800/= alizotumwa kuuza mahindi.
  
 
 
 
 
Safina Mkwama ananasema 
anajuta kufariki kwa baba yake, kwani baba wa kambo anayeishi kwenye 
nyumba waliyoachiwa na baba yao mzazi, anawatesa sana.
 
 
 
 
 
 
Mama mzazi wa Safina Mkwama akimpa mwanaye zoezi la kusimama kwa kuwa hivi sasa ni siku nne hawezi
 
 
 
 
 
 
majeraha yaliyotokana na kuchunwa na fimbo
 
 
 
 
 
 
Bathal Shawa mzazi anayetuhumiwa na Jeshi la Police kumpiga mtoto wake wa kambo hadi kupoteza fahamu
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment