Mwenyekiti
 wa Taifa wa Chama cha Wananchi, Profesa Ibrahim Lipumba (kulia), leo 
saa 10 jioni atakwenda kumtembelea kumjulia hali, Mwenyekiti wa Jumuiya 
ya Madaktari Tanzania, Dk. Stephen Ulimboka ambaye amelazwa kwa matibabu
 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jana baada ya kutekwa na kupigwa na
 watu wasiojulikana.Picha Na Richard Mwaikenda Blog

No comments:
Post a Comment