PICHA ZA UKWELI

JUST IN: Chama cha Madaktari Tz chawasilisha maombi UN ya ulinzi kwa viongozi wake

Mchana wa leo, Jumatatu, Julai 9, 2012 Chama Cha Madaktari (MAT) kimewasilisha maombi ya ulinzi kwa Viongozi wake na Dkt. Ulimboka (mwanachama wao) kwa Uongozi wa Umoja wa Mataifa (UM).

Nakala ya barua hiyo imepachikwa hapa.


No comments: