BARAZA LA MAWAZIRI KIVULI NA MABADILIKO YA WIZARA KIVULI 2012
No. | WIZARA KIVULI | WIZARA YA SERIKALI | KAMATI HUSIKA YA BUNGE | WAZIRI KIVULI | NAIBU WAZIRI |
1. | OFISI YA WAZIRI MKUU | OFISI YA WAZIRI MKUU | -SHERIA NA KATIBA, -FEDHA ,UCHUMI +MIPANGO | KUB- FREEMAN A.MBOWE | |
2. | WAZIRI WA NCHI OFISI YA WAZIRI MKUU | 1.SERA,URATIBU NA BUNGE 2.UWEKEZAJI NA UWEZESHAJI 3. TAMISEMI-- ELIMU -TAWALA ZA MIKOA | -do- | DAVID ERNEST SILINDE | - |
3. | MIUNDOMBINU | UJENZI NA UCHUKUZI | MIUNDOMBINU | SAID ARFI | PAULINE GEKUL |
4 | WAZIRI WA NCHI OFISI YA RAIS | OFISI YA RAIS 1-UTAWALA BORA 2-MAHUSIANO NA URATIBU 3- MENEJIMENT YA UTUMISHI WA UMMA | -SHERIA NA KATIBA. -FEDHA NA UCHUMI | PROF. KULIKOYELA KAHIGI | - |
5. | FEDHA UCHUMI NA MIPANGO | WIZARA YA FEDHA | FEDHA NA UCHUMI | ZITTO KABWE | CHRISTINA MUGHWAI |
6. | KATIBA SHERIA NA MUUNGANO | KATIBA NA SHERIA+OFISI YA MAKAMU WA RAIS MUUNGANO | SHERIA NA KATIBA | TUNDU A.LISSU | - |
7. | MALIASILI,UTALII NA MAZINGIRA | MALIASILI NA UTALII+OFISI YA MAKAMU WA RAIS MAZINGIRA | MALIASILI NA MAZINGIRA | MCH.PETER MSIGWA | - |
8. | MAMBO YA NDANI YA NCHI | MAMBO YA NDANI | MAMBO YA NJE ULINZI NA USALAMA | VICENT NYERERE | - |
9. | MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA AFRIKA YA MASHARIKI | MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA+ USHIRIKIANO WA AFRIKA YA MASHARIKI | MAMBO YA NJE ULINZI NA USALAMA | EZEKIAH D.WENJE | RAYA IBRAHIM KHAMIS |
10. | ULINZI NA JKT | ULINZI NA JKT | MAMBO YA NJE ULINZI NA USALAMA | MCH.ISRAEL NATSE | - |
11. | MAJI,MIFUGO NA UVUVI | MAJI NA UMWAGILIAJI+ MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI | KILIMO ARDHI NA MAJI | SYLVESTER M.KASULUMBAYI | SABREENA HAMZA SUNGURA |
12. | KAZI,HABARI,UTAMADUNI NA MICHEZO | HABARI,VIJANA NA MICHEZO+ KAZI NA AJIRA | MAENDELEO YA JAMII | JOSEPH O.MBILINYI | CECILIA PARESSO |
13. | NISHATI NA MADINI | NISHATI NA MADINI | NISHATI NA MADINI | JOHN MNYIKA | - |
14. | VIWANDA NA BIASHARA | VIWANDA NA BIASHARA | VIWANDA NA BIASHARA | HIGHNESS KIWIA | - |
15. | AFYA, JINSIA NA JAMII | AFYA NA USTAWI WA JAMII+MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA WATOTO | -HUDUMA ZA JAMII -MAENDELEO YA JAMII | DR. GERVAS MBASSA | CONCHESTA RWAMLAZA |
16. | ELIMU,SAYANSI NA TEKNOLOJIA | ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI + SAYANSI TEKNOLOJIA NA MAWASILIANO | -HUDUMA ZA JAMII -MIUNDOMBINU | SUZAN A.LYIMO | JOSHUA NASSARI |
17. | KILIMO NA USHIRIKA | KILIMO, CHAKULA NA USHIRIKA | KILIMO, MIFUGO NA MAJI | ROSE SUKUM KAMILI | - |
18. | ARDHI,NYUMBA NA MAKAZI | ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI | ARDHI, MALIASI NA MAZINGIRA | HALIMA MDEE | - |
Baraza lililopanguliwa ni la mwaka 2011 na lilikuwa hivi:
KIONGOZI wa Kambi ya Upinzani bungeni, Freeman Mbowe alitangaza Baraza la Mawaziri Kivuli likiwa na mawaziri 29 wote kutoka CHADEMA.
Mbowe aliwateua Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe kuwa Waziri Kivuli wa Fedha, Mbunge wa Ubungo, John Mnyika kuwa Waziri Kivuli wa Nishati na Madini na Mbunge wa Kawe, Halima Mdee kuwa Waziri Kivuli wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi.
Waziri Kivuli katika Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), amekuwa Raya Ibrahim Khamis, Waziri wa Uwekezaji na Uwezeshaji amekuwa Esther Matiko huku naibu wake akiwa Vicent Nyerere.
Said Amour Arfi kuwa Waziri katika Ofisi ya Rais, Utawala Bora, Mchungaji Israel Natse kuwa Waziri wa Mahusiano na Uratibu, huku Susan Lyimo akiteuliwa kuwa Waziri katika Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma.
Pauline Gekul a;iteuliwa kuwa Waziri katika Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano), Leticia Nyerere Waziri wa Ofisi hiyo akishughulikia mazingira ambapo Zitto Kabwe amekuwa Waziri wa Fedha huku naibu wake akiwa Christina Mughwai.
Godbless Lema amekuwa Waziri Kivuli wa Mambo ya Ndani, Tundu Lissu, Katiba na Sheria, Ezekia Wenje akienda Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Joseph Selasini alipewa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa na Silvester Kasulumbai akiteuliwa kuongoza Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi.
Wengine walioteuliwa na wizara zao katika mabano ni Profesa Kulikoyela Kahigi (Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Halima Mdee (Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi) na Mchungaji Peter Msigwa (Maliasili na Utalii).
Mhandisi Salvatory Machemuli aliongoza Wizara ya Ujenzi, Mhonga Ruhwanya (Wizara ya Uchukuzi), Lucy Owenya (Viwanda na Biashara), Christowaja Mtinda (Elimu na Mafunzo ya Ufundi) na Dk Gervas Mbasa (Afya na Ustawi wa Jamii).
Marehemu Regia Mtema (Kazi na Ajira), Naomi Kaihula (Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto), Joseph Mbilinyi (Habari,Vijana na Michezo), Mustapha Akunaay (Ushirikiano wa Afrika Mashariki), Meshack Opulukwa (Kilimo, Chakula na Ushirika) na Highness Kiwia amekuwa Waziri Kivuli wa Maji.
Mbowe aliwateua Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe kuwa Waziri Kivuli wa Fedha, Mbunge wa Ubungo, John Mnyika kuwa Waziri Kivuli wa Nishati na Madini na Mbunge wa Kawe, Halima Mdee kuwa Waziri Kivuli wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi.
Waziri Kivuli katika Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), amekuwa Raya Ibrahim Khamis, Waziri wa Uwekezaji na Uwezeshaji amekuwa Esther Matiko huku naibu wake akiwa Vicent Nyerere.
Said Amour Arfi kuwa Waziri katika Ofisi ya Rais, Utawala Bora, Mchungaji Israel Natse kuwa Waziri wa Mahusiano na Uratibu, huku Susan Lyimo akiteuliwa kuwa Waziri katika Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma.
Pauline Gekul a;iteuliwa kuwa Waziri katika Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano), Leticia Nyerere Waziri wa Ofisi hiyo akishughulikia mazingira ambapo Zitto Kabwe amekuwa Waziri wa Fedha huku naibu wake akiwa Christina Mughwai.
Godbless Lema amekuwa Waziri Kivuli wa Mambo ya Ndani, Tundu Lissu, Katiba na Sheria, Ezekia Wenje akienda Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Joseph Selasini alipewa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa na Silvester Kasulumbai akiteuliwa kuongoza Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi.
Wengine walioteuliwa na wizara zao katika mabano ni Profesa Kulikoyela Kahigi (Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Halima Mdee (Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi) na Mchungaji Peter Msigwa (Maliasili na Utalii).
Mhandisi Salvatory Machemuli aliongoza Wizara ya Ujenzi, Mhonga Ruhwanya (Wizara ya Uchukuzi), Lucy Owenya (Viwanda na Biashara), Christowaja Mtinda (Elimu na Mafunzo ya Ufundi) na Dk Gervas Mbasa (Afya na Ustawi wa Jamii).
Marehemu Regia Mtema (Kazi na Ajira), Naomi Kaihula (Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto), Joseph Mbilinyi (Habari,Vijana na Michezo), Mustapha Akunaay (Ushirikiano wa Afrika Mashariki), Meshack Opulukwa (Kilimo, Chakula na Ushirika) na Highness Kiwia amekuwa Waziri Kivuli wa Maji.
No comments:
Post a Comment