Kw mujibu wa mmoja ya wajumbe wa kamati ya uchaguzi wa Yanga, Ally Mayay amepigwa panga hilo baada ya kutotokea wakati wa usikilizwaji wa pingamizi hilo uliofanyika leo, pamoja na kwamba jana lilitolewa tangazo likiwataka wanachama wote waliokuwa wamewekewa pingamizi kufika makao makuu kusikiliza mapingamizi yaliyowekwa dhidi yao.
Tunaendelea kumtafuta Ally Mayay ili tuweze kupata kujua ni hatua gani atachukua baada ya jina lake kukatwa.
No comments:
Post a Comment